Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho RFI Kiswahili
-
- Science
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
-
Ukulima wa minyoo wa ardhini(Earthworm) katika utengenezaji wa mbolea asili
-
Kenya: Upanzi wa mimea yenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
-
Tamasha la mazingira liliandaliwa jijini GOMA nchini DRC
-
Wakulima nchini Kenya wajiandaa kwa msimu wa kupanda
-
Akina mama wahifadhi mashamba ya pweza Lamu katika bahari hindi
Sote tunataka familia zetu ziwe na chakula cha kutosha ili kula kile ambacho ni salama na chenye lishe. Na lengo la 2 la maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ni ulimwengu usio na njaa ifikapo 2030.
-